Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Happy birthday Muungano, how old are you now? 60 years!!! Leo tare 26/04/2024 Muungano wetu Kati ya Tanganyika na Zanzibar= TANZANIA Umetimiza miaka 60....huu ni umri wa mzee mtu mzima...
0 Reactions
34 Replies
251 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
511K Replies
29M Views
Habari wana Jf tupeane pole juu ya Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Nchini. Juzi kati nilipata msala mdogo amabao ulinipelekea kuwekwa Selo pale kituo cha polisi msimbazi. Baada ya kusolve na...
0 Reactions
5 Replies
6 Views
Naomba ukweli tu ndio usemwe nani mwenye uwezo wa kimedani Kati ya mahasimu hawa wawili kati ya muyahudi na waajemi. Kuna watu wanapenda mambo ya medani japo vita ni kuzimu(hell) ila ni hulka ya...
6 Reactions
122 Replies
3K Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
923 Reactions
1M Replies
40M Views
Picha chini Ni mwonekano baada na kabla ya kufanyiwa oparesheni hiyo ya mdomo. Nini maoni yako, Kapendeza au hajapendeza?
2 Reactions
30 Replies
562 Views
Meya huyo wa Zamani wa Kinondoni na Ubungo ameongozana na Wakili wake Hekima Mwasipu. Boniface Jacob ambaye ni Mwanachama wa Chadema amefikia kwenye kituo cha polisi cha Oysterbay akiwa sambamba...
7 Reactions
84 Replies
4K Views
Majuzi kati kada mtiifu sana wa ccm na chawa mkubwa wa bashite, mara baada ya bashite kuhojiwa na kamati ya maadili ya chama chetu alileta bandiko huku akisema. Mwamba Bashite ataongea na...
4 Reactions
5 Replies
6 Views
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT wazalendo mh Abdul Nondo amesema Chama chake kimesikitishwa na kitendo cha Polisi kuwakamata Godlisten Malisa na Boniface Jacob kwa kupaza Sauti dhidi ya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Katika kata ya Kiromo, Kijiji cha Kitopeni wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani eneo maarufu kama ranchi ya NAFCO eneo ambalo linenunuliwa na Mwekezaji ili kuchimba madini ya MCHANGA. Eneo hili lipo...
2 Reactions
5 Replies
130 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,758
Posts
49,494,140
Members
666,827
Latest member
jay_mtani
Back
Top Bottom