Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wadau hamjamboni nyote? Mimi bado naamini timu ya simba itachukua ubingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania Najua wengi hamuamini lakini kumbukeni kuwa imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo...
11 Reactions
60 Replies
2K Views
Habari Wana jf. Naomba kueleweshwa kuhusu makadirio ya Kodi. Nimeanza biashara ya vipuri vya pkpk takribani mwaka mmoja sasa. Mara ya kwanza kwenda t.r.a nilikadiliwa 89000 na mwaka huu nimerudi...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Napenda kila mtu ajuwe Kiongozi ni mwanadam kama sisi ila sote hatuwezi kuwa viongoz nilazima mtu mmoja asimame kwa niaba ya wengine kwa mataifa ya Dunia ya kwanza nafasi nyeti za kitaifa kuzipata...
35 Reactions
188 Replies
6K Views
Imagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa tuko kwenye foleni kupisha Mwenge. In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge! Disappointment ya hali ya juu. Wakazi wa Kigamboni...
19 Reactions
80 Replies
1K Views
Inakuwaje Wanajamvi! Influencer/Mhamasishaji na mchekeshaji maarufu nchini Mwijaku amefanya jambo ambalo siyo sahihi na kinyume na maadili kwa kumshikashika miguu inayovutia na inayotamanisha...
1 Reactions
13 Replies
14 Views
Mwaka 1947 umoja wa mataifa uliweka mipaka kati ya waarabu na wayahudi. upande wa waarabu ukaitwa Palestina kwa mara ya kwanza (jina walilopewa waarabu enzi warima wakkitawala Israel), upande wa...
0 Reactions
2 Replies
21 Views
Ndoto ni kuwa na Mwanamke Nesi, Mwalimu au Askari ikishindikana hapo basi mwaajiriwa katika sekta yoyote ile sometimes maisha hayakupi kile unachotaka huu mwaka wa sita toka nimekuwa na hiyo ndoto...
14 Reactions
48 Replies
978 Views
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amelieleza Bunge kuwa anapowatazama wake zake roho yake inapata furaha ya kipekee jambo linalosababisha kufanya kazi zake kwa kujituma na kujitoa. Kauli hiyo ameitoa...
7 Reactions
27 Replies
1K Views
Hiki ndo kizazi bora na ambacho kipo logically . Ndo waasisi Wa kataa ndoa crew Wanazaa kwa mpango Wapo logically Wapo na mental well being. Be blessed , Golden generation.
15 Reactions
95 Replies
2K Views
Naomba kujua kwa sasa kilo moja ya mwani ni shilingi ngapi? Gharama za kusafirisha mwani kutoka Tanzania hadi UAE ni shilingi ngapi? Nawasubiri kwenye komenti zenu. Asanteni.
0 Reactions
6 Replies
693 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,073
Posts
49,589,252
Back
Top Bottom