Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Msimu wa Ligi kuu ya NBCPL ulitamatika mwishoni mwa mwezi wa 5, 2024 na Yanga ndiyo alikuwa Bingwa Tuambie mambo gani yalikuvutia zaidi katika msimu huo?
0 Reactions
5 Replies
6 Views
Habarini wana jamvi poleni na swaum lakini pia mfungo mwema kwa wenzetu waislam. Nimependelea nije na mkasa huu hususani katika kipindi hiki cha mfungo kwani ni funzo tosha katika maisha ya kila...
86 Reactions
137 Replies
25K Views
Kuna taarifa ya ajali ambapo inasemekana lori limeigonga Coaster iliyotokea Tunduma kuja Mbeya eneo la Simike. Mchana huu. Inasemekana kuna vifo kadhaa. ---- Hii ajali imetokea leo mlima wa...
2 Reactions
29 Replies
245 Views
Kuanzia unapotongoza mwanamke anakubebesha gharama zote ambazo alitakiwa kuwajibika mwenyewe au kugharamiwa na baba yake sasa hapa mwanaume akisalitiwa ndio yale yale ya msukuma na penny uko goba...
9 Reactions
47 Replies
723 Views
Mkutano huu pichani ni wa saa 4 asubuhi leo hii kwenye kijiji cha Ughandi. Hili ndio jimbo linaloongozwa na mbunge anayeitwa Ramadhan Ighondu aliyevuma kwenye gazeti la MwanaHalisi enzi zile
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Habari wana jamiiforum, napenda kuiomba serikali kufuatilia kero na kelele inayosumbua sana maeneo ya (Kahama/Lugera/Mnazi mmoja) kumekua na makanisa mengi maeneo hayo, lakini kuna kanisa ambalo...
1 Reactions
4 Replies
5 Views
Unaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa. Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe...
17 Reactions
52 Replies
1K Views
Hawayuu wasomi wenzangu. Leo katika harakati zangu za hapa na pale za kutafuta mkate wa siku wakati natoka kufundisha subtopic ya quantum tunneling pale UD, Nikadandia daladala moja ya kwenda...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Exim Bank ya Korea imeikopesha Serikali ya Tanzania zaidi ya Bilioni 400 Kwa Ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kisasa na Chuo Cha Mafunzo(Mfano wa Muhimbili-Mlonganzila) Zanzibar. ---...
3 Reactions
45 Replies
839 Views
Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA, Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe, Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao 1. Zitto Zuberi...
6 Reactions
100 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,445
Posts
49,802,344
Back
Top Bottom