Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Moja kati ya vitu vizuri na kuvutia zaidi ni kuona jina zuri aliloku sev mwandani wako Mbali na kutia faraja ila pia huleta hari kujihisi furaha kwa mwenza Je umesev vipi jina la kipenzi chako...
4 Reactions
166 Replies
1K Views
Kijana uliemaliza kidato cha nne au cha sita.. kabla ya kufanya maamuzi ya kusoma Diploma in clinical medicine yajue haya. Clinical medicine ni kozi ya diploma ya utabibu (udaktari) ukisoma hii...
36 Reactions
71 Replies
3K Views
Nawakumbusha tu Maana huwa mnajisahau sana hlf mkipigwa kitu kizito mnakuja hapa mbiombio kujiliza hapa na kutupa taabu ya kuwashauri. SIWAFOKEI ila tusilaumiane uko bdae.
6 Reactions
15 Replies
116 Views
Nilitarajia tangu awali kusikia hatua za kufungiwa kwa Yanga zikienda pamoja na TFF kutamka kuipoka Yanga pointi katika michezo yote waliyomchezesha Pacomme kinyume na kanuni. Hata hivyo...
1 Reactions
49 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Nauliza kwa uchungu mkubwa sana kuwa ofisi ya msajili wa vyama vya siasa ipo wapi? Inafanya kazi gani? Imelala wapi huko usingizi wa pono mpaka inashindwa kuona hatari...
-1 Reactions
114 Replies
1K Views
Ndugu zangu wana Jf habari zenu. Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na...
148 Reactions
12K Replies
4M Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views
NAPE AMVAA LISU KUTUMIA MANENO YA KIBAGUZI KWA RAIS SAMIA “Watanzania asilimia 70 mpaka 80 tumezaliwa baada ya muungano, kwa hiyo hatujui kule nyuma sisi tunajua muungano wetu, ndiyo maana ni...
0 Reactions
3 Replies
95 Views
Na hasa nguo za ndani mfano chupi, bra, boxer, vests. Wanao kuwa jirani nawe wanapata tabu sana kwa uzito wa fukuto la hewa nzito ya kiutu uzima, isiyostahimilika kutoka maeneo mbalimbali ya mwili...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Viwango vya uzazi nchini humo (ambavyo tayari ni vya chini kabisa duniani) vimepungua tena, huku kukiwa na hofu ya "kutoweka kwa taifa", wakati ambao Serikali imekuwa ikitumia Mabilioni ya Dola...
4 Reactions
29 Replies
830 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,735
Posts
49,526,468
Members
667,223
Latest member
nassoromtangi
Back
Top Bottom