Jamani msiwe na haraka na hii kampuni sio ya kuamini sana. Mimi nimekoma kufanya biashara na lucus...ni matapeli fulani hivi. Kwa hiyo kuweni makini nina uthibitisho wa utapeli wao. Nilipoona wameadvertise ippmedia nikajua ni ya viwango kama autorec kumbe balaa...baadhi ya waswahili ndio maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.