Billioni 11 ni process, leo hapa tulipo ni nyingi ila kilimo ukianzia chini ukifata misingi imara ya kilimo endelevu unapanda ngazi kila kukicha... Mahindi kwenye traditional farming ni ngumu kulipa lakini hesabu zimefanyika hili shamba linamizunguko mitatu ya kulima na pia katika implimatation...
Acha matusi, maneno uliyoandika yanamaelezo mengi Sana kwamba wewe ni mtu wa aina gani, ni utoto na ufinyu wa fikira kumtukana mtu ambaye humjui kisa upo nyuma ya keyboard unataipu tuu utu na heshima vinakutoka.. kuna uwezekano mkubwa unayemtukana ukikutana naye utamsalimia na kumpaheshima zote...
Vijana wengi wa Kitanzania hawana mwamko wa kufanya long-term investment,wengi wanapendelea kupata return ya pesa ya chap chap. Mradi Kama huu wa hecta 10000 za shamba kwa mtu mmoja ni mradi ambao unapata chance ya kuufanya au kuujariba Mara moja in ur life. Unahitaji maandalizi ya muda...
Shukrani kwa vote. Serikali inapart kubwa ya kufanya katika Hili lakini hata sisi Vijana tunayonafasi kubwa ya kuonesha nia na uwezo ili iwe rahisi serikali kuingilia na kutoa msaada
Ni kweli kwamba Dunia kwa Sasa ipo katika mapinduzi ya nne ya viwanda na sekta inayoongoza mapinduzi haya ni sekta ya teknologia na habari. Matajiri wakubwa wa Dunia kwa kiasi kikubwa ni Vijana na wazee ambao wamewekeza katika sekta hii kwa kiasi kikubwa,hapa nawazungumzia watu Kama Jeff...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.