Asante kwa criticism yako. Ni kweli ukusanyaji na uchakataji siyo kazi za app.
Lakini nilikuwa najaribu kuonesha mfumo mzima wa namna ya biashara itakavyoundwa.
Na hapo kwenye uuzaji,wateja na aplikesheni, ni kwamba; mteja anakuwa na app halafu ndio ana uwezo wa kununua(maana mishale miwili).
Utangulizi na kauli kuhusu tatizo
Biashara ya samaki ni biashara inayokua kwa kasi sana hapa kwetu nchini Tanzania. Na hii ni kwa sababu ya uhitaji mkubwa sana wa samaki kama kitoweo chenye gharama nafuu na chanzo cha protini miongoni watu walio wengi, hasa wale wa hali ya chini na chanzo cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.