Huyu mama ni mpambanaji sana na anaonyesha anahitaji nafasi ya kuingia madarakani kwenye nchi ambayo wananchi wake huchagua viongozi si uwezo na weledi wao bali umaarufu wao au vyama vyao
Wanawake wanaweza tena bila hata ya kuwezeshwa kinacho hitajika ni wao kujitambua kwanza kuwa wanaweza na wao si udhaifu ukilinganisha na wanaume mbele ya jamii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.