pamoja kaka, ila bro mpaka nimeamua kutumbukiza tatizo lang humu, ujue am suffering, najiona sina bahati, nimechoma hela hospitalini napata nafu wiki kazaa, homa zinaludi, lakini hii ya sasa kali, kwa hizi dalili mpaka natamani nipate vipimo vikubwa cha mwili mzima tatizo pesa
Asante bro, ila hali yetu kwa sasa sio nzuri, nikimwambiaga mama yang tatizo langu huwa analia sana tukiwa tunasali maana yeye ni mkristu , hiv nakunywaga dawa za maumivu panado kunipunguzia homa,
Ha
Hapana, ila mazoezi na kucheza mpira nilikua nafanya kilasiku, niliamua kuacha baada ya kuanza kujisikia vibaya nilipoludi mazoezini na kidonda ambacho alinichea lafu mwezangu, na mguu wa pili nao nilikuja kuvimba mazoezini, cha ajabu uvimbe ulichelewa kupona ambapo sio kawaida yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.