Recent content by Wannjanye maley

  1. W

    JamiiForums Tanzania Dalili nyingi mwilini na vipimo sijapata

    Sawa bro ntajaribu,
  2. W

    JamiiForums Tanzania Dalili nyingi mwilini na vipimo sijapata

    pamoja kaka, ila bro mpaka nimeamua kutumbukiza tatizo lang humu, ujue am suffering, najiona sina bahati, nimechoma hela hospitalini napata nafu wiki kazaa, homa zinaludi, lakini hii ya sasa kali, kwa hizi dalili mpaka natamani nipate vipimo vikubwa cha mwili mzima tatizo pesa
  3. W

    JamiiForums Tanzania Dalili nyingi mwilini na vipimo sijapata

    A Asante ntajaribu
  4. W

    JamiiForums Tanzania Dalili nyingi mwilini na vipimo sijapata

    Nashukuru
  5. W

    JamiiForums Tanzania Dalili nyingi mwilini na vipimo sijapata

    Asante, ila nilikua nauliza kama unaweza jua gharama ya check up
  6. W

    JamiiForums Tanzania Dalili nyingi mwilini na vipimo sijapata

    Asante ila Huyo doctor wa kunifuatilia mimi hali ya chini ntapata wapi
  7. W

    JamiiForums Tanzania Dalili nyingi mwilini na vipimo sijapata

    nashukuru, hivi ni muhimbili pekee ndo waotoa vipimo vikubwa ?
  8. W

    JamiiForums Tanzania Dalili nyingi mwilini na vipimo sijapata

    RBG, samahani sijaelewa ni abbreviation ya ugonjwa gani Dooo asante
  9. W

    JamiiForums Tanzania Dalili nyingi mwilini na vipimo sijapata

    RBG, samahani sijaelewa ni abbreviation ya ugonjwa gani
  10. W

    JamiiForums Tanzania Dalili nyingi mwilini na vipimo sijapata

    Nashukuru asante
  11. W

    JamiiForums Tanzania Dalili nyingi mwilini na vipimo sijapata

    Check up ni ya damu,au mwili mzima ni kiasi gani
  12. W

    JamiiForums Tanzania Dalili nyingi mwilini na vipimo sijapata

    Sawa ndugu Tatizo kumudu hizo gharama ndo tatizo
  13. W

    JamiiForums Tanzania Dalili nyingi mwilini na vipimo sijapata

    Asante, tatizo uchumi wang mbovu kwa sasa maana niliacha kazi nisomee fani ya umeme veta
  14. W

    JamiiForums Tanzania Dalili nyingi mwilini na vipimo sijapata

    Asante bro, ila hali yetu kwa sasa sio nzuri, nikimwambiaga mama yang tatizo langu huwa analia sana tukiwa tunasali maana yeye ni mkristu , hiv nakunywaga dawa za maumivu panado kunipunguzia homa,
  15. W

    JamiiForums Tanzania Dalili nyingi mwilini na vipimo sijapata

    Ha Hapana, ila mazoezi na kucheza mpira nilikua nafanya kilasiku, niliamua kuacha baada ya kuanza kujisikia vibaya nilipoludi mazoezini na kidonda ambacho alinichea lafu mwezangu, na mguu wa pili nao nilikuja kuvimba mazoezini, cha ajabu uvimbe ulichelewa kupona ambapo sio kawaida yangu...
Back
Top Bottom