Recent content by VUASU

  1. V

    Beach plots

    Nitalifanyia kazi
  2. V

    Beach plots

    Inamaana unapendekeza bei zote ziishie elfu hamsini ili watanzania wote wamudu..??????:crying:
  3. V

    Beach plots

    Mkuu kuhusu uhalali wa eneo hakuna tatizo lolote,utakuwa Na uhuru wa kuchunguza hati husika Kwa kwenda kwenye idara yeyote itakayokupa majibu utakayoridhika nayo ndio ufanye malipo
  4. V

    Beach plots

    Ni eneo linalofaa sana Kwa uwekezaji hasa wa Hoteli Mkuu.hadi linauzwa kwa bei hiyo ni wazi kuwa linafaida kubwa,lakini Kwa wajasiria mali.Pia kwa maisha ya kujinafasi panafaa sana kwa makazi
  5. V

    Beach plots

    Ndiyo Mkuu
  6. V

    Beach plots

    Wakuu maeneo bado yapo...karibuni...!!
  7. V

    Beach plots

    Mkuu kuna eneo la ekari Sita bei yake ni m900.Kama nilivoeleza hapo juu,ni eneo halali,na unaweza chukua tahadhari zote unazoona zinafaa,ili tu uridhike.....!!!
  8. V

    Simart phone for sale

    Duuuuh .....
  9. V

    Natafuta Toyota Starlet Glanza! Anybody help!!!!

    Inayolizisha au inayoridhisha Mkuu,hebu niweke.
  10. V

    Toa order ya sim original used unayoipenda

    Hata mm hii sijaipenda..
  11. V

    Beach plots

    Ni kweli,hela ndefu kidogo,ila kwa mwenye kuhitaji kwa uwekezaji au hata Makazi ni raha tupu.karibu.
  12. V

    Beach plots

    Wakuu kwa mwenye mahitaji ya maeneo karibu na ufukwe wa bahari ya Hindi eneo la Bagamoyo just ni pm.Maeneo yote yamepimwa na idara ya ardhi na yana hati miliki.kabla ya malipo utajiridhisha kwanza na hati hizo.Ukihitaji eka tatu na kuendelea.Nawasilisha....!!!
Back
Top Bottom