Mkuu kuhusu uhalali wa eneo hakuna tatizo lolote,utakuwa Na uhuru wa kuchunguza hati husika Kwa kwenda kwenye idara yeyote itakayokupa majibu utakayoridhika nayo ndio ufanye malipo
Ni eneo linalofaa sana Kwa uwekezaji hasa wa Hoteli Mkuu.hadi linauzwa kwa bei hiyo ni wazi kuwa linafaida kubwa,lakini Kwa wajasiria mali.Pia kwa maisha ya kujinafasi panafaa sana kwa makazi
Mkuu kuna eneo la ekari Sita bei yake ni m900.Kama nilivoeleza hapo juu,ni eneo halali,na unaweza chukua tahadhari zote unazoona zinafaa,ili tu uridhike.....!!!
Wakuu kwa mwenye mahitaji ya maeneo karibu na ufukwe wa bahari ya Hindi eneo la Bagamoyo just ni pm.Maeneo yote yamepimwa na idara ya ardhi na yana hati miliki.kabla ya malipo utajiridhisha kwanza na hati hizo.Ukihitaji eka tatu na kuendelea.Nawasilisha....!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.