Recent content by viny one

  1. V

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

    Huwa sipaki kitu nikimaliza huwa naoga tu basi, ila ushauri wako nimeupata nitaufanyia kazi.
  2. V

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

    Ahsante kwa ushauri..ntajitahidi wakuu maana nilihisi labda Bacteria fulani au fungi sugu
  3. V

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

    Kwa wale wenye uelewa/ utaalamu na haya mambo naomba mnisaidie Huwa nasumbuliwa na vipele kama vijipu fulani ambavyo huwa vinaniuma sana na vinajaa vimaji maji kama usaha (vikiiva) maeneo ya mavuzini. Vimekuwa vikitokea mara kwa mara vinapotea..vinaweza kutokea ikapita hata miezi 3 au 6 ndo...
  4. V

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Kondomu kuvuka au kuchomoka

    Mazee nilienda hosp dokta akanishauri nianze PEP ndo nilianza jana nimeamka kizunguzungu hatari hizi dawa nyie zisikieni tu
  5. V

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Kondomu kuvuka au kuchomoka

    Unamaanisha nini we jamaa
  6. V

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Kondomu kuvuka au kuchomoka

    Hapo kwenye swala la maambukizi bado hujanijibu mkuu...inakuwaje hapo
  7. V

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Kondomu kuvuka au kuchomoka

    Hapana ndugu sina kiba100 nina nchi 6 kabisa na wala huyo mwanamke sio malaya wa kununua
  8. V

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Kondomu kuvuka au kuchomoka

    Pia ningependa kufahamu kama maambukizi yanaweza kutokea kwa njia hii
  9. V

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Kondomu kuvuka au kuchomoka

    Nimemgegeda mwanamke mmoja nikiwa nimevaa kondomu sasa wakati nimepiga bao nachomoa dushe hili nibadili nivae nyingine nikakuta kondomu imesogea mbele yaani nusu ya dushe ilikuwa wazi na wakati mwanzo niliivaa fresh tu...jambo lililonikata stimu na mechi ikaishia pale pale maana hata mwanamke...
  10. V

    JamiiForums Tanzania Baada ya kusex sijielewi, nimepata uchovu siku mbili na mwili unawasha, msaada please

    Kwani ukikaa muda mrefu ndo unakuwaje
  11. V

    JamiiForums Tanzania Baada ya kusex sijielewi, nimepata uchovu siku mbili na mwili unawasha, msaada please

    Stress ninayokibao tu since day one
  12. V

    JamiiForums Tanzania Baada ya kusex sijielewi, nimepata uchovu siku mbili na mwili unawasha, msaada please

    kwa kweli baada ya kuamka siku iliyofuata niliingiwa na hofu pamoja na mawazo karibu wiki nzima... nadhani hata mawazo inaweza kuwa sababu
Back
Top Bottom