Asante kwa maoni na swali zuri sana. Fika ofisi za UTT, mtaa wa Ohio, Sukari House, ghorofa ya pili, watakupa maelekezo mazuri na ya kina zaidi. ASANTE. KARIBU SANA
Asane sana kwa swali zuri. NMB ni kati ya Benki zinazofanya vizuri sana Tanzania. Hili limethibitika kwa faida kuongezeka kwa 53% katika mihula miwili ya fedha. Hii imesababisha thamani ya hisa moja ya NMB kuongezeka na kufikia 2951. Bei ya leo ya sokoni ya hisa ya moja ya NMB ni Tsh 2800. Kwa...
Asante kwa swali zuri.... naomba nisaidie kushare maarifa haya ili wawekezaji kwenye soko la hisa la Dar es salaam nchini Tanzania wafanikiwe na wawe matajiri🙏
Muhtasari:
Dhumuni la nakala hii ni kuelimisha jamii kuhusiana na kanuni za kuzingatia ili kuweza kutajirika kwa kuwekeza kwenye soko la hisa. Pia, kutoa hamasa kwa vijana na wajasiriamali mbalimbali kukuza mitaji na utajiri kwa kuwekeza kwenye soko la hisa la Dar es Salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.