Recent content by uwedo

  1. U

    Naomba taarifa za maisha ndani Katavi

    Brother nenda kafanye kazi mwenyewe utapapenda, wengine huko kwetu na kila wakati hufika huko fulusa kibao wewe tu ushindwe mwenyewe kila raheli.
  2. U

    Mtangazaji wa TBC, Aboubakar Mwanamboka, afariki Dunia!

    R.I.P mwanamboka, tulikupenda mtangazaji wetu , lakini Mungu kakupenda zaidi pumzika kwa amani, Amen.
  3. U

    Naomba taarifa za maisha ndani Katavi

    Umeme mbona hata hapa dar unakatika kila mara? Katavi ni pazuri kutafuta maisha, karibia.
  4. U

    Tatizo la Lowassa: Ameibua ugomvi na mafisadi wa Gesi

    Yangu macho na masikio, toeni siri zote tuzifahamu.
  5. U

    Ndege mpya ya TB Joshua ya Dolla Mil 60 hii hapa

    Akili ya kuambiwa changanya na yako!
  6. U

    Kwanini waimbaji wa nyimbo za injili hawazeeki?

    Hapo umenena, Bwana Yesu Asifiwe, kumwimbia Bwana ni kusali mara mbili.
  7. U

    CHADEMA officially ni CCM 'B'

    Nimeamini pesa sabuni ya roho popote unaingia nakuitwa mheshimiwa/mzee hata kama wanakuzidi umri elimu na n.k.
  8. U

    Mgana Msindai vs Wilbroad Slaa

    Ni shida mwaka huu tutasikia mengi hata yaliofichwa chini ya kapeti tutayajua.
  9. U

    Sumaye, Unafahamu uliongoza baraza la kifisadi kuliko yeyote?

    Yangu macho na masikio wanajikusanya tu.
  10. U

    Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

    Dr slaa kasha sahaulika, mbona hata pale kwenye mapokezi yao, au mie sina macho na slaa cjamsikia akiongea chochote.
  11. U

    Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

    Dr slaa ndio kaachwa hivyo, jana mbona sijamuona pale kwenye mapokezi yao? au mie sioni vizuri?
  12. U

    TANZIA: Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Mfaki afariki Dunia

    Wekeni picha yake huyo mbunge maana twawajua wachangiaji, wanao lala hatuwafahamu.
Back
Top Bottom