Habari ndugi zangu
Naomba nijue kuhusu kutolewa kwa kizazi kwa ambao washapitia changamoto hiyo
Je unakuwa na tofauti gani katika kufanya tendo la ndoa na mume
Je Kuna changamoto zingine unazipata au madhara yoyote
Wanawake wengine wanasema kama mwanamke anakuwa hafai tena unanenepa unakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.