Ama kweli tz ina mambo . Hapo ndio naamini kuwa kulikuwa na watu kila weekend wako nje ya nchi na michepuko halafu gharama kwa serikali. Mtoa mada naomba ulipokee agizo la raisi wako in a positive way angalia jinsi ya kuinua uchumi wa nchi kwa kutumia resources zetu. Hebu jiiulize safari za...
?
Unajisumbua kuuliza maswali ambayo hata ukamilifu wa dahari utimie magamba hawatakujibu sana sana utajibiwa kwa ushabiki wa ccm. Nafikiri ifike mahala ccm wajitafakari upya kuwanyima wazanzibari haki ya kuongozwa na mtu wanayemtaka sio jambo la busara. Acheni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.