1. Upendo ni kuthamini, Kisicho Thamini,
Na sioni Kunufaika, Kwa kuondoa upendo,
Bora niondoe kosa, Kuliko upendo,
Upendo ni kuthamini, kisicho thaminika.
02. Kuondoa kosa, si maringo wala sifa,
Na nikiacha kosa, undugu nao utakufa
Kumbuka undugu, ni bora kuliko mwanasesele...