kwenye huu uzi bado malalamiko ni mengi kuliko ushauri wa nini tufanye au tunachoweza kufanya. Inabidi tuhame kifikra kutoka kwenye malalamiko na manung'uniko twende kwenye kuzungumza na kujadili njia au mbinu zinazoweza kututoa kwenye hali hii. Kama hoja/maoni ya malalamiko na manung'uniko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.