Nauliza mimi toka nimejifungua adi sasa mtoto ana mwaka na nusu ila tatizo ni kwamb siku zangu za hedhi zina badilikabdilika kuna wakat Ina pita siku 46 mda mwingine inakua 23,24, na mimi Hua mzunguko wangu uwa ni siku 28 naomba usaidizi tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.