Asante kaka , mimi ndo naanza kufanya shughuli hii ndivyo natafuta soko kwahivyo picha nilizo attach ni software rendered photos not real site projects lakini pia ni gharama kutengeneza kitu na kukikweka bila kujua kama kitatimiza mahitaji ya mteja husika.
Kwahiyo huduma zetu zinaanza na...
Kupitia animation ya aina hizi tutakazo kutengenezea Unaweza kupunguza gharama kwa kujua nini hasa sebule au eneo lako linahitaji na nini hakihitajiki
Mfano Unaweza kununua set ya sofa ya watu 7 na pengine sebule yako ingependeza tu na sofa ya 3:1
Unaweza kuambiwa na fundi kuwa duka lako...
Habari ndugu!
Je Unapenda kuiboresha nyumba ,ofisi ,sehemu yako ya biashara au kupata samani zinazolingana na space yako kwa maana ya nyumba yako unayotarajia kuhamia au kuiboresha! Duka lako unalotarajia kulifungua au kuliboresha! Jiko lako unalotarajia kuliboresha! Ofisi yako unayotarajia...
#Kupanga Ni Kuchagua
Habari za wakati huu wakuu, poleni na majukumu.
Wengi wetu tunaishi kwenye nyumba au vyumba vyenye nafasi ndogo—hasa mijini.
Changamoto kubwa siyo kwamba hatuna vitu vizuri, hapana.
Tatizo ni kwamba tunanunua au kutengeneza vitu kabla hatujapanga nafasi zetu vizuri.
Ndiyo...
Shida kuna namna madalalii wameharibu hii biashara kila mtu mnamuona tapeli ,nawaelewa, je ninaweza kukamilisha project moja na ukawa mteja na balozi wangu? Mana me ni mfanya biashara mchanga bado nikianza kutengenza hasara mapema sidhani kama kesho nitakuja tena hapa, ila nitatengenza bidhaa...
Sawa kaka nmekuelewa sana na Asante kwa mrejesho wako ninaweza kupata namba yako na nikianza projects zangu uje kuona na kuwa shahidi na mteja wangu wa kwanza?
Naelewa unachomaanisha kaka, ila kama umesoma tangazo langu ni tunabuni kulingana na mteja anavotamani na sehemu yake ilivyo hiii sio biashara ya furniture tu ni zaidi ya hapo ni huduma tofauti na ilivyozoeleka. Na ndo biashara naanza uzi huu utakua endelevu kila project itakayokamilisha...
Sawa nmekuelewa ndugu ila tunatofautiana hapa , siwezi kutengeneza nikakiweka hapo na kikaaa kikakosa mteja na mimi nishaingia gharama, kwahiyo naanda Michoro na 3d design natangaza ukipenda na tukakubaliana bei kinatengenezwa unakuja kukiona usiporidhika nacho au kikiwa tofauti na matarajio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.