Mara nyingine ni abnormality kwenye hizo tubes lakin cause kubwa ni kwa mama kuugua mara kwa mara magonjwa ya zinaa au augue afu astibiwe kwwa mda mrefu pia yaeza kuwa cilia immobility kwenye fallopian tubes ambazo hizi cillia ndo hulisukuma yai kutoka kwenye ampulla kwenda kwenye mji wa uzazi
Hiyo hali inaitwa ectopic pregnancy hii hali kwa ufupi ni pale fertilization inapofanyika nje ya mji wa uzazi yaeza kuwa kwenye mirija (fallopiantubes) au mara nyingine tumboni kabsa (peritoneum cavity)
Hakuna kundi la damu linalosemwa huwa linashambuliwa sana na magonjwa but body immunity ndo ina matter group o ni group zuri cause ni universal donor but t does recieve from ts own group also the toughest group to find ts donor or recipient ni group lolote ambalo ni rhesus negative samahani wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.