Habari zenu wadau wa J Forum popote mlipo,mie ni mjasilia nauza Sato Tsh 9000 per 1kg na Sangara Tsh 6000 per 1kg.Tupo Mwenge na samaki wetu ni wazuri Sana,Jumla ni kuanzia kilo tano na bei inapungua,Sehemu yoyote Kwa dar tuna deliver,utachangia kidogo ya usafiri.karibu saana...