Kange ndio ilipo Stendi mpya ya Tanga. Umbali wa kange baharini ni 7 kilometers. Wakazi wengi wa kange ni wageni wa Tanga kutoka mikoa mbali mbali, maana ni mji mpya uliochanganyika umezungukwa na viwanda na shughuli mbali mbali za kijamii kama vyuo na kambi ya jeshi.
Nyumba inauzwa Tanga mjini, Kange
3 Masters Bedrooms na moja ipo ghorofani in sitting room.
3 Normal bedrooms.
Car garage (parking)
public toilet
kitchen
Siuting room & Dining room
Mabanda 7 inje ( ya tofali kama vyumba)
Frame ya Duka
Gazebble
Imezungushiwa ukuta na Gate
Eneo size ni 2230 sqm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.