Recent content by Temera 1997

  1. Temera 1997

    SoC02 Sheria za Urithi wa Kimila na ukandamizwaji wa Haki za Wanawake nchini Tanzania

    Mpenzi msomaji wa makala hii, imekuwa ni kawaida sana katika sheria za kimila, pindi mume anapofariki mke au wake watakaobaki hai katika familia hiyo kutofaidika kwa chochote katika mali wakizochuma. Nchini Tanzania, sheria za kimila hazimpi nafasi Mwanamke haki ya kurithi mali wakizochuma...
Back
Top Bottom