Mr. DIY
Yes sorry ni serikali ya mtaa.
Misugusugu kulikua kunachimbwa mchanga, ili upate leseni ya madini lazima upate coordinate na muhtasari wa serikali ya mtaa please angalia document attached
Pia upate nyaraka za mauziano
February 10
Bontaboy
ok sawa jana nilikuwa huko ni kweli nimeona kuna eneo kule karibu na dampo kuna mhindi wa siku nyingi anafuga kuku ndio uko karibu naye sawa hawa wachina hawajafika kwako kwa sasa ndio wateja wakubwa wanachukua eka kwa 15m kama iko ndani na barabarani wanachukua 20-27m...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.