Habari, nasumbuliwa sana na mingurumo kwenye tumbo na tumbo linaniuma sana, nimetumia dawa nyingi hospital lkn bado, naombeni ushauri ni dawa gani mzr itanisaidiaa ndg zangu
Naisi maumivu nikiongea kooni. Ni hospital gani mzr ya koo au ni daktari gani mzr wa koo. Ni mwaka sasa naumwa huu ugonjwa! Naitaji msaada hata mwenye anajua dawa mzr ya asili aniambie.
1. Mbele ya shingo yangu hupata moto mpka kutoka na jasho 2.26 3. Inafika miezi 11 4 taratibu 5. Yanapungua 6. Hapana 7. Hapana 8. Ndio culture na kile cha kamera ambayo unainginzwa hadi tumboni nilipima wakaniambia nipo fresh 9. Ndio
Jamani nimeenda sana hospital, nasumbuliwa sana na koo, hasa nikiongea na hushika moto kooni.
Nashukuru mungu wakati wa kula nakula vizuri tu sisikii maumivu.
Naombeni ushauri wenu wakuu au mwenye kujua doctor mzr wa koo! Aniambie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.