Kitalu ED
Matumizi ya kiwanja: MAKAZI NA BIASHARA
Ukubwa: SQM 2,400
Bei: 25,000,000
Kiwanja kinafaa kwa ujenzi wa HOUSING ESTATE
Kiwanja kipo mita 400 kutokea barabara kubwa ya kuelekea Dar es Salaam ukitokea Dodoma.
Mashamba yanapatikana kata ya mafizi, kijiji cha ving'andi na zipo zaidi ya hekari 300 zilizopimwa, Mashamba haya mazuri kwa kilimo na bei yake kwa kila hekari ni laki nne, 400,000/=
Maji yanapatikana masaa 24 katika mto ruvu na mashamba yamepakana na mto ruvu, Kibali cha kutumia mto ruvu kipo...
Kiwanja kipo NALA IFM
UKUBWA SQM 786
Status; Bado hapajajengeka pamepimwa na nyaraka za umiliki ni barua kutoka jiji
Bei milioni moja tu ( 1,000,000)
Mawasiliano ni 0693084522
MTUMBA, BLOCK LY
PLOT NO 289
UKUBWA SQM 892
UMILIKI WA KIWANJA NI WA HATI KABISA, WASILIANA NAMI KWAAJILI YA BIASHARA BEI YAKE 6,500,000
MAWASILIANO YANGU 0693084522
MKALAMA, BLOCK N
PLOT NO 64
UKUBWA SQM 883
UMILIKI WA KIWANJA NI WA OFA
MAWASILIANO YA SIMU 0693084522
Bei milion tisa tu ( 9,000,000)
NYUMBA ZIPO JIRANI NA HUDUMA ZA KIJAMII KAMA MAJI NA UMEME VIPO KARIBU, PANAFIKIKA NA GARI.
Jamii forum ni kugumu sana, shida watu uelewa tofauti hata jambo liwe sahihi kiasi gani mtu kubisha ni jadi yake kwa kuwa ndiyo nchi yetu ngoja tuvumilie tu
Kumbuka ardhi haina biashara za ubabaishaji huwezi kumpeleka sehemu ambayo siyo wakati mawe, michoro na nyaraka vinaonyesha sehemu husika, Jitahidi kuboresha ili na wenzako waelewe hakuna mbabaishaji kwenye kitu serious kama hususani kipindi kigumu cha fedha hiki
Wewe ndiyo hujaelewa mchoro unaweza kuwa surveyor mzuri ila usifikie utendaji wangu wa kazi pia, mimi pia ni surveyor labda nikufafanulie viwanja vipo 17 na michoro yote ipo na ni sehemu tofauti eneo ni hilo hilo, unaweza kwenda kuhakiki na ukaona ukweli huu, nilichokifanya ni kukupa eneo lenye...
Wewe umehitaji uone ramani ambayo ni approved nimechukua picha kwa juu ione, ile ni TP iliyoandaliwa kabla haijapelekwa kwaajili ya kuweka plot no, ndani. Nikakutumia ambayo haina uchafu ndani yake uone mkao wa viwanja, kama upo serious njoo nikupeleke site then kila kitu uone mwenyewe kikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.