Recent content by SweetMillah

  1. SweetMillah

    SoC02 Nimesoma shule za kawaida nikiwa sisikii vizuri. Changamoto zilizopo ni uhaba na ukosefu wa mafunzo ya lugha za alama

    Pole Mwenyezimungu atafanya wepesi lakini tusisitize umuhimu wa lugha ya alama kwa jamii itarahisisha mawasiliano
  2. SweetMillah

    SoC02 Nimesoma shule za kawaida nikiwa sisikii vizuri. Changamoto zilizopo ni uhaba na ukosefu wa mafunzo ya lugha za alama

    Ni kweli kabisa yote hiyo hawajui lugha za alama kwa ajili ya mawasiliano Kama wangejuaningewarahisishia na kuwaongeze aupendo ni matamanio yangu itolewe Kama somo mashuleni kuanzia shule za msingi Kama ilivyo kusoma na kuandika na Kama ilivyo Katika kupambana na rushwa
  3. SweetMillah

    SoC02 Nimesoma shule za kawaida nikiwa sisikii vizuri. Changamoto zilizopo ni uhaba na ukosefu wa mafunzo ya lugha za alama

    Ulemavu ni Hali ya upungufu wa kazi katika kiungo kimoja wapo katika mwili wa mwanadam au mnyama kiungo hicho chaweza kuwa mkono, mguu macho nk kupelekea uhitaji wa vifaa maalumu ili kujishirikisha katika shughuli za kijamii na kiuchumi. Binafsi nimezaliwa nikiwa na uwezo wa kusikia na...
Back
Top Bottom