Ni kweli kabisa yote hiyo hawajui lugha za alama kwa ajili ya mawasiliano Kama wangejuaningewarahisishia na kuwaongeze aupendo ni matamanio yangu itolewe Kama somo mashuleni kuanzia shule za msingi Kama ilivyo kusoma na kuandika na Kama ilivyo Katika kupambana na rushwa
Ulemavu ni Hali ya upungufu wa kazi katika kiungo kimoja wapo katika mwili wa mwanadam au mnyama kiungo hicho chaweza kuwa mkono, mguu macho nk kupelekea uhitaji wa vifaa maalumu ili kujishirikisha katika shughuli za kijamii na kiuchumi.
Binafsi nimezaliwa nikiwa na uwezo wa kusikia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.