Hapana ndugu nilichoandika ni ukweli kabisa..kikubwa naombeni sana kwa yoyote ambaye anaweza kunisaidia hii simu nayoitumia hapa kuandikia hzi jumbe ingekuwa na thamani nzuri ningeweza hata kuiuza nipate hiyo hela ila hata nikisema nifanye hvyo hakuna anayeweza kuinunua kwa ambavyo hali yake ilivyo
Wanajamii, niliomba msaada ni sehemu gani nitaweza kubadilisha pesa ya Israel ambayo kuna mtu amenipatia kama sehemu ya msaada wake. Ila mimi binafsi nina tatizo naombeni yeyote anayeweza kunichangia tafadhali.
Nimeona hapa ndio sehemu pekee nitakayoweza kupata msaada, baada ya kujaribu sana...
Wanajamii naombeni kuuliza ni wapi naweza kubadili pesa ya Israel. Nimejaribu kwenye baadhi ya biro na benki, lakini hawabadili.
Naombeni anayefahamu sehemu ya uhakika anielekeze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.