Sababu za kuiacha ni kuwa nahamia mkoani mzee lakn zile changamoto nyingi za kibiashara nilishazimudu ....faida ipo maana ndo inasapoti maisha kupata details za ndani sana nicheki brother
N A U Z A
Car wash set (vifaa vya car wash )
Jipatie
1.mashine za kuoshea zipo mbili (kazi kazi) hapo hukwami masaa 24
2.mashine ya kunyonya vumbi Lita 20
3.tank la Maji Lita 2000
4. Bango la car wash yenyewe
5.viti vya wateja pamoja na meza ya kuwekea vitu vidogo vidogo.+ Polish na...
N A U Z A
Car wash set (vifaa vya car wash )
Jipatie 1.mashine za kuoshea zipo mbili (kazi kazi) hapo hukwami masaa 24
2.mashine ya kunyonya vumbi
3.tank la Maji Lita 2000
4. Bango la car wash yenyewe
5.viti vya wateja pamoja na meza ya kuwekea vitu vidogo vidogo.
Napatikana dar es salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.