Recent content by SSMashinji

  1. SSMashinji

    Ni dawa gani ya kutibu jino lenye tundu(limetoboka).

    tumia amoxicillin 4x3 na metronidazole 1x3 kwa cku tatu
  2. SSMashinji

    Kwa wanao jua zaidi kuhusu skull fracture

    Amen, hakika Maombi yako ni Muhimu.
  3. SSMashinji

    Kwa wanao jua zaidi kuhusu skull fracture

    Ok, Ahsante sana mkuu
  4. SSMashinji

    Kwa wanao jua zaidi kuhusu skull fracture

    kuna mizunguko mingi zaidi ya unavyofikilia ndio maana natafta ushauri juu ya side effects kwanza kabla cjafika huko kusign kwanza naenda kufanyiwa operation liwalo naliwe. pia account inatakiwe iwe vizuri, hamna mtu anaetakiwa kunitegemea kwa mda wote wa matibabu na hata % ya successful...
  5. SSMashinji

    Kwa wanao jua zaidi kuhusu skull fracture

    injary ni moja sema n ndef about 40mm
  6. SSMashinji

    Kwa wanao jua zaidi kuhusu skull fracture

    hayo yote nimeyafikilia shda n wapi nafanyiwa na nan ananifanyia maana operation nyingi apa bongo hua zinazokua successful n chache nazo hua wanatoka na shda nyingne za hovyo zaidi
  7. SSMashinji

    Njia mbadala za kupunguza uzito

    sounds kama mko wengi, kwa mazoezi hayapunguzi uzito yanaimalisha mwili plus msosi mkali utakaohitajika kufidia nguvu iliopotea mda mnafanya mazoezi baada ya hapo unapumzika umechoka, mtazidi tu kunenepeana. jaribuni. kumaintain kwanza chakula, unywaji wa maji uwe kawaida chakula kidogo na...
  8. SSMashinji

    Kwa wanao jua zaidi kuhusu skull fracture

    operation nayo kaka gharama kubwa ni mda mref wa kubaki kitandan min 6months, najaribu kuikwepa ndio maana nimeileta humu hio hoja nataka kupambana t na symptoms mda naangalia nn cha kufanya. haijawa critical kiasi hicho.
  9. SSMashinji

    Kwa wanao jua zaidi kuhusu skull fracture

    madhara yapo ila cjui sa kama yataendelea au laa maana vimeharibika vingi na vinaendelea kwasabab ya symptoms ninazoonyesha hasa memory loss, confusion na balance kidogo kunamda nakua kama naenda kuanguka hv.
  10. SSMashinji

    Msaada: Tatizo la kutokwa na damu wakati wa haja kubwa

    nilitaka tu akapime ili majibu apate kwanza kutoka kwenye vipimo, ndio tuanzekuongea afanye kwenye tatizo linalojulikana, hata kwaelimu tu siombaya kwa maelezo na kutokua suprised na majibu. na pia kuna watu wanao taka majibu straight kwamba nn shda na matibabu yake yakoje hasa kwa shida ambayo...
  11. SSMashinji

    Msaada: Tatizo la kutokwa na damu wakati wa haja kubwa

    bora ata maana kunavichwa um daaah. long live our english debating club kibao kwa kichwa
  12. SSMashinji

    Msaada: Tatizo la kutokwa na damu wakati wa haja kubwa

    sasa mbona mnachafua thread ya watu c muende huko nilipoanzisha thread mkaone error nyingine nyingi t hapa mbona kidogo
  13. SSMashinji

    Msaada: Tatizo la kutokwa na damu wakati wa haja kubwa

    sio kwa kila mtu na ni marachache , hem naomba aseme baada ya huyo mgonjwa kwenda kufanya vipimo wamemwambia anashida gani hmaloh
  14. SSMashinji

    Msaada: Tatizo la kutokwa na damu wakati wa haja kubwa

    KWENYE THREAD YA WANAO JUA ZAIDI KUHUSU BRAIN FRACTURE NA HISI HUNA MAJIBU HUMO ANGALIA VIZURI JUKWAA LA AFYA.
Back
Top Bottom