Recent content by squ

  1. S

    Mwanangu wa kiume miaka 4 lakini haongei ni kupiga makelele tu

    Pole sana! Mpeleke shule za watu wenye usonji watamtrain atadevelop taratibu! Usonji autaki haraka!Muombe Mungu maisha Malefu umtunze mwanao! Mfundishe kama kaweza kula ataweza kufanya na kitu kingine! Mwenyezi Mungu anawapa wazazi strong anajua utaweza ilo jaribu ndio maana kakupa mtoto wa...
  2. S

    Mwanangu wa kiume miaka 4 lakini haongei ni kupiga makelele tu

    Tatizo ukiliwahi kwa kufanya therapy na vyakula matunda na dawa japo izi dawa aziponeshi ila zinatuliza vile vile moods! Mimi huwa naagiza nje na zinagharama mpaka kufika Tz !Kuna vitaminiD3, ADHD fish oil omega 3, magnesium glycinate. Hii husaidia kupata usingiz , magnesium citrate hii...
  3. S

    Mwanangu wa kiume miaka 4 lakini haongei ni kupiga makelele tu

    Mimi ni mama wa mtoto mwenye autism! Naomba nikazie hapa .
  4. S

    Naomba ushauri kuhusu usonji

    Uyo mtoto mwenye miaka miwili anapenda kucheza mchezo gani!? Anapenda kuzunguka? Ukiwa unamuongeleshwa anakuangalia usoni? Ukimuita jina lake anageuka au anakuja kwa wakati? Anapenda kuchezea taili za toi au kuona taili ikizunguka? Ukimkataza kucheza kufanya kitu anarudia tena kitu...
Back
Top Bottom