Mrs.kurunzi.Bei single 33 kwa 210,bei n'180000 na double 45 kwa 210 bei n'280000.wapendwa mimi ni mgeni WA haya mambo,nmepata ushauri kuwa naweza tangaza biashara yngu zaidi online,sasa tunavo itana utapeli hata sijui yanatoka wapi,mimi mpiganaji na naheshimu ninachokifnya.nashkuru.