Recent content by Soma Vitabu Tanzania

  1. Soma Vitabu Tanzania

    Unaingiza kiasi gani cha pesa kwa saa?

    Siku moja Baba alirudi nyumbani akiwa amechelewa kutoka kazini. Alikuwa amechoka huku akiwa amekasirika. Alipofika nyumbani alimkuta mwanae wa miaka mitano akimsubiri mlangoni. Mtoto alipomuona baba yake , alimwambia “ Baba ninaweza kukuuliza swali?” Baba akajibu, “ndio, unaweza ni nini...
  2. Soma Vitabu Tanzania

    Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

    Katika vipindi vyote ambavyo binadamu wameishi hapa duniani, miaka mingi sana mpaka kufikia sasa, hakuna kipindi kizuri kuingia au kuwa kwenye biashara kama kipindi tunachoishi sasa. Ni upendeleo wa kipekee kwetu sisi kuwa hai kipindi hiki na kama tutashindwa kukitumia vizuri basi tutakuwa...
  3. Soma Vitabu Tanzania

    Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

    Siri ya Utajiri ni ubahili,hii ni kauli ambayo wengi wamekuwa wakiitumia, na hufanya zoezi la kutengeneza utajiri kupewa taswira hasi. Kwa sababu ubahili ni kubana sana fedha na kujinyima, basi wengi huona hayo siyo maisha ya kuishi. Kwa nini ujitese kutengeneza utajiri wa baadaye badala ya...
  4. Soma Vitabu Tanzania

    Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

    Mafanikio sio mchezo wa kubahatisha. Ni mchezo wa kuzifuata kanuni na kuziishi kila siku. Hakuna kingine kinachowatofautisha wanaotajirika na wanaobaki masikini kama tabia. Hivyo kwa kuzijua tabia za kitajiri na kuziishi kwenye maisha yako ya kila siku, unakuwa kwenye nafasi nzuri ya kufikia...
  5. Soma Vitabu Tanzania

    Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

    Hakuna anayeweza kubisha kwamba kumekuwa na ukuaji mkubwa sana wa teknolojia kwenye zama tunazoishi sasa. Kuna maendeleo makubwa ambayo yametokea tangu kuanza kwa karne ya 21 ambayo hakuna aliyetegemea yangetokea kwa kasi kubwa hivyo. Nani alidhani angeweza kuwasiliana na mtu aliye bara la...
  6. Soma Vitabu Tanzania

    Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

    Hofu imekuwa kikwazo kwako? Adui mkubwa wa mafanikio ya watu wengi ni hofu. Wewe mwenyewe ni shahidi. Hofu imezuia watu wengi sana kuweza kuchukua hatua ili kufikia mafanikio kwenye maisha yao. Watu wanakuwa na mipango mizuri watu wanajua ni nini wanatakiwa kufanya ila inapofika wakati wa...
  7. Soma Vitabu Tanzania

    Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

    Sio siri tena kwenye hii karne ya 21, Mambo yamebadilika sana. Sahau kila kitu ulichowahi kusikia kuhusu kulipwa. Sasa kuna njia bora ya kulipwa zaidi kuliko ilivyokuwa imezoeleka karne ya 20. Ni njia ambayo haizungumzwi sana lakini inafanya kazi kwenye hii karne ya 21. Haijalishi...
  8. Soma Vitabu Tanzania

    Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

    Nenda shule, soma kwa bidii na ufaulu vizuri. Utapata kazi inayokulipa vizuri na utakuwa na maisha mazuri. Huu ulikuwa ushauri maarufu na uliofanya kazi kwenye karne ya 20 na muongo wa kwanza wa karne ya 21. Lakini sasa mambo yamebadilika kabisa, Waliofuata ushauri huo ni wengi, wameenda...
  9. Soma Vitabu Tanzania

    Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

    Njia Rahisi Itakayokusaidia Kukabiliana Na Rafiki Hasi Kwenye Maisha Yako. Takwimu zinaonesha kwamba, Wastani wa watu wanne (4) unaojihusisha nao kwa siku wana mitazamo hasi. Unaye rafiki yeyote ambaye ni hasi? Je, unaye rafiki ambaye ukikaa naye unaishia kujisikia vibaya? Je, unaye rafiki...
  10. Soma Vitabu Tanzania

    Jifunze hapa jinsi ya kuzivuta fursa na kuzitumia ndani ya muda mfupi

    JIFUNZE HAPA: Jinsi Ya Kuzivuta Fursa Na Kuzitumia Ndani Ya Muda Mfupi. Unakwama Wapi Mpaka Sasa Hujui Jinsi Ya Kuzivuta Fursa? Huzioni fursa lakini wenzako wanaziona na kuzitumia je, unajua tatizo ni nini? Ulichofichwa kwa muda mrefu leo unakwenda kukifahamu na kukitumia ipasavyo. Angalia...
  11. Soma Vitabu Tanzania

    Hii ndiyo njia ya uhakika ya kuongeza mshahara wako

    Je wewe ni mwajiriwa lakini mshahara unaoupata hautoshelezi kuyaendesha maisha yako? Je umekuwa kwenye ajira kwa miaka mingi, lakini kikubwa ulicho nacho ni madeni na mishahara haikutani? Je mwajiri wako amekuwa hakuongezi mshahara licha ya gharama za maisha kupanda? Na je ungependa kuwa na...
  12. Soma Vitabu Tanzania

    Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

    Rafiki yangu mpendwa, Hivi unajua kwamba una wajibu wa furaha yako kwa 90%? Vipi kama leo nitakuambia wewe ndiye mkurugenzi wa maisha yako? Huku ukiendelea kutafakari tujikumbushe kutoka kwenye hadithi ya kijana aliyemsaidia kipepeo kutoka kwenye buu lake. Siku moja, kijana mmoja alimpata...
  13. Soma Vitabu Tanzania

    Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

    Ulishawahi kufikiria Hilo Lingetokea? Mtaalamu ALBERT EISNTEIN alishawahi kusema” Hatuwezi kutatua tatizo kwa kutumia kiwango kilekile cha uwezo wetu wa kufikiri tulichokuwa nacho wakati tunapata tatizo hilo”. Ukweli ni kwamba kila changamoto inayokukabili leo inahitaji uwezo mkubwa zaidi wa...
  14. Soma Vitabu Tanzania

    Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

    Ni masaa mangapi unatumia kila siku kuzurura kwenye mitandao ya kijamii? Unapaswa ufahamu hili miaka 20 iliyopita, kabla ya mitandao ya kijamii na simu janja hazijaingia kwenye maisha ya watu, mtandao ulipewa nafasi ya kufanya makubwa na hakuna aliyeweza kufikiri ingekuja na madhara makubwa kwa...
Back
Top Bottom