Recent content by Smart22

  1. Smart22

    SoC02 Ajira haiwezi nikosesha usingizi!

    Kwenye jamii yetu vijana wengi wanapohitimu chuo kikuu, wanakuwa wanamawazo mengi sana kichwani kwao. Moja ya wazo ambalo wanalifikilia sana wanapomaliza ni "Ajira", hili jambo limewakosesha watu usingizi na badala take wanakesha wakitafuta kazi!! Binafsi Ajira haiwezi kuninyima usingizi au...
Back
Top Bottom