Poleni na majukumu wadau wa afya. Nina changamoto moja ambayo inamsumbua mke wangu kwa kipindi cha miezi mitatu sasa.
Ana dalili zote za mimba ambayo haikui na tukipima hospitali vipimo vinaonyesha ana mimba lakini nasikitika nnapoona mimba ya mke wangu inapotea. Naombeni msaada wa mawazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.