Niliamka asubuhi na mapema sana kuwahi kazini. Nadhani ungeniona mida nnatoka nyumbani ungeamini mimi nnaondoka asubuhi sana kwelekea kazini lakini hapana sio kawaida yangu.
Niliondoka asubuhi ile sababu ya kukosa usingizi usiku kucha nikiwa nawaza huku maisha ya familia yangu huku mke wangu...
KESHO YANGU NI KESHO KUU.
Mwandishi Simulizi za Shafih.
Baada ya jogoo wa kwanza kuwika nilijinyanyua kitandani na kukaa kitako. Siku ile jogoo hakuniamsha usingizini Bali alinifanya nijue kuwa kumekwisha pambazuka.
"Sasa nijiandae Kwa safari ya kibaruani"nilijisemea wakati nateremka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.