Recent content by Shakran

  1. S

    Nina maumivu makali ya ubavu wa mwisho na mfupa wa nyonga upande wa kushoto. Ni ugonjwa gani huu?

    Maumivu yako upande wa kushoto yaani Kati ya ubavu wa mwisho na nyonga Maumivu haya hutoweka tu baada ya kuamuka na kuchoza kwa jua
  2. S

    Nina maumivu makali ya ubavu wa mwisho na mfupa wa nyonga upande wa kushoto. Ni ugonjwa gani huu?

    Ndugu zangu, Naomba kufahamishwa huu ni ugonjwa gani nimekuwa nikipata maumivu makali sana baina ya ubavu wa mwisho na mfupa wa nyonga upande wa kushoto yapata miaka 3. Sasa, maumivu haya huwa makali mida ya saa 11 alfajiri mpaka saa 1 au hutokea nikilala muda mrefu. Nimefanya vipimo kama...
Back
Top Bottom