Ndugu zangu,
Naomba kufahamishwa huu ni ugonjwa gani nimekuwa nikipata maumivu makali sana baina ya ubavu wa mwisho na mfupa wa nyonga upande wa kushoto yapata miaka 3.
Sasa, maumivu haya huwa makali mida ya saa 11 alfajiri mpaka saa 1 au hutokea nikilala muda mrefu.
Nimefanya vipimo kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.