Recent content by senkondomhina

  1. S

    Eneo linauzwa Kimara, Temboni

    Ndugu yangu umeshalielewa eneo sasa?..basi kwa maelekezo mengine ni hivi..kama unatoka kituo cha polisi kwenda Temboni stendi..{barabara ya Morogoro}..yaelekeze macho yako upande wa kushoto..unapoanza kushuka kile kilima tu!..kuna barabara ya gari inayoingia ndani inayotazamana kabisa na 'gate'...
  2. S

    Eneo linauzwa Kimara, Temboni

    Eneoni lakwangu, kuhusu hati, eneo lilipimwa tangu 2001, likawekwa mawe ya mipaka, lakini sikuprocess hati. Kuhusu bei, haipungui. kwa maelezo zaidi 0715 654141
  3. S

    Eneo linauzwa Kimara, Temboni

    , Ni vema zaidi ukifika kuliona eneo, gharama yake ni milioni 75 (75,000,000)
  4. S

    Eneo linauzwa Kimara, Temboni

    Hapana, ni tofauti na hiyo njia ya anazak, ni kama umbali wa mita hamsini kutoka kituo cha polisi. Au ukifika kituo cha polisi ulizia kwa MZEE MOJAMOJA...
  5. S

    Eneo linauzwa Kimara, Temboni

    gharama ni 75,000,000. Contact Muhusika 0715 654141
  6. S

    Eneo linauzwa Kimara, Temboni

    gharama ni 75,000,000. Contact Muhusika 0715 654141
  7. S

    Eneo linauzwa Kimara, Temboni

    Sio eneo la kanisa katoliki, Eneo langu lipo jirani na KWA MZIRAI WA SUMATRA, jirani na bekari ya mikate (na panauzwa maji ya jumla ya kisima).
  8. S

    Eneo linauzwa Kimara, Temboni

    Ninauza eneo, lina ukubwa wa EKARI MOJA, Eneo lipo KIMARA TEMBONI, jirani na kituo cha POLISI TEMBONI. Eneo Limezungushiwa UZIO(Fence), Lipo Umbali wa mita 400 kutoka morogoro road (dakika 8 kwa mwendo wa kutembea). Huduma ya uhakika ya umeme, barabara na maji inapatikana. Uthibitisho wa...
Back
Top Bottom