Hellw jmn naomba kusaidiwa mama angu anasumbuliwa sanaa na maumivu ya nyonga na xley imeonesha kwmb mifupa yake imepekecha sasa imefka hatua anapata maumiv makali sanaa mpk inapelekea kutembea huku ameinama... Jmn kama kuna dawa unaifaham naomba unisaidie
Hello guys
Jamani nina shida jamani mama yangu anasumbuliwa na maumivu ya nyonga na miguu. X-ray inaonyesha kwamba mifupa ya nyonga imepekecha jamani imefika hatua now anashindwa kabisa kutembea huku amenyooka yaani anainama.
Kwa yeyote anayejua dawa jamani msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.