Jamani mm sielewi elewi mzunguko wangu km mwezi huu nimeingia 20 ujao naingia 18 auh 17 kiufupi nashuka auh auh naruka siku 2-3 kutoka 220-22-23 au kutoka 20 hadi 18-17 inakuwa nashuka auh napanda kwaiyo mm nitahisabu vipi kalenda yangu na kujua siku za kuweza kubeba mimba NAOMBA MSAADA WENU WADAU
Jamani mm sielewi elewi mzuko wangu niwasiku ngapi coz mwezi nikiingia tarehe 20 mwezi unaofuata naiyona mwezi 18 au 17 kiufupi zinaruka siku 2-3 na nihitaji MTT kwaiyo Sikh za kubebeshwa mimba ni zipi na tarehe zipi naweza kupata MTT was kiume naomba msaada wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.