Utawala Bora ni kipengele kipana kwa kiasi chake kwasababu ya kila mtu kuwa na mtazamo wake akiingia kwenye uongozi,nianze kwa kusema huwezi kuwa katika mfumo wa utawala Bora ukijiangalia wewe tuu,wengi wakilamba teuzi huwa na presha na hicho cheo na hufanya vitu ili kufurahisha waliowateua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.