Naomba kuuliza eti kuna kampuni inayojihusisha na kununua nyumba au viwanja. Kwamba ukifika pale wanatathmini nyumba yako bila ya kwenda kuiona wanaweza wakasema nyumba yako ina thamani ya milioni mia. Unaambiwa lete hati ya makazi kisha unawekwa kwenye mlolongo wa kulipwa. Kina kitu kama hicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.