IRINGA: Enea Mkimbo (55) Mkazi wa Kihesa Kilolo amejinyonga leo Septemba 14, 2022 chanzo kikidaiwa ni kuzidiwa na madeni ya VICOBA na usumbufu kutoka kwa Wanakikundi wenzie
Septemba 13, 2022 alifuatwa na Wanakikundi wakimshinikiza kutoa pesa
Soma - Iringa: Ajinyonga baada ya kuzidiwa na Madeni...
Binti anayefahamika kwa jina la Johari Tarimo (32) mkazi wa kijiji cha Ndatu kata ya Poli Wilayani Arumeru, amejiua kwa kunywa sumu na kuacha ujumbe kuwa amechukua uamuzi huo kutokana madeni ya vikoba ya jumla Tsh. milioni moja laki moja.
Mume wa marehemu Paulo Bayo amesema mke wake alikuwa...
Ndugu zangu,
Nadhani neno ‘deni’ si geni machoni mwetu. Ni moja ya kitu mashuhuri katika jamii zetu. Wingi wa neno deni ni ‘madeni.’ Binafsi mtu akiniuliza deni ni nini, nitamweleza kuwa; Deni ni shurti (jambo la lazima kufanya) analovikwa au kujivika kiumbe awe hai au mfu.
Ili twende sawa...
Mwishoni mwa mwezi uliopita nilikuwa natoka maeneo ya Manzese (kufuatilia jambo) kuelekea Makumbusho. Eneo nililokuwapo lina Kituo cha Daladala kiitwacho Big Brother na ndipo nilipopandia gari.
Garini palikuwa na abiria wachache waliotawanyika mithili ya punje za mtama zilizotoswa ardhini. Nami...
Mara nyingi ni ngumu kwa binadamu wengi kuchukua hatua mpaka jambo zito linapotokea aidha kwao au kwa watu wao wa karibu. Tena katika wakati tuliopo ambao wengi wetu tunaongozwa na hisia kuliko tafakuri za kina, imefikia hatua hata balaa linapomtokea mtu wa karibu tunayemfahamu basi hatujifunzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.