Kiwanja hicho kimepangiwa matumizi gani kwa mujibu wa documents zako za umiliki?
Kama unaenda Dodoma ukitokea Msamvu, je kiwanja hicho kipo upande upi?
Ni umbali gani kwa makisio kutoka stendi ya daladala unaposhuka Mkundi hadi kwenye kiwanja husika?Kwenye ramani yako uliyoambatisha...
NATAFUTA KIWANJA , SHAMBA , ARDHI MOROGORO MANISPAA
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, natafuta Kiwanja, Shamba au Ardhi ya kununua Morogoro Manispaa.Ardhi ninayohitaji iwe aidha imepimwa (i.e Surveyed land) au haijapimwa (i.e unsurveyed land or Squatter ), isipokuwa kitu cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.