Mama anashauriwa anyonyeshe hadi mwezi mmoja kabla ya tarehe ya matazamio kujifungua. Kufanya tendo la kujamiaana hakuna kikomo. Kwa kawaida mama anapokuwa mjamzito ladha ya maziwa hubadilika kwa sababu ya ongezeko la Sodium (Na) kwenye maziwa. Ubora na thamani ya ubaki vilevile.
Jumla ya siku za mzunguko toa 14 unapata siku ambayo lazima mama apate ujauzito kama hakuna shida yoyote. Siku Tatu kabla na baada ya siku hiyo kuna uwezekano wa kubeba ujauzito. Mzunguko unahesabiwa kuanzia siku ya kwanza ya hedhi hadi siku ya moja kabla ya hedhi nyingine. Usitumie kalenda ya...
Michango kwa akina mama Mara nyingi huwa ni muwasho kwenye pango la uzazi (chronic pelvic inflammatory diseases). Tiba ni kunywa antibiotics kwa muda wa wk 2. Uchunguzi zaidi kutumia ultrasound ni muhimu kwani kunaweza kuwa na uvimbe kwenye viungo vya uzazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.