Kila nchi duniani hukusanya kodi kutoka kwa wananchi kwa ajili ya kuendesha serikali, na kodi ni chanzo kikuu cha mapato ya serikali.Lengo kuu la kodi ni kwaajili maendeleo ya nchi kwa maana kujenga huduma za kijamii kama shule hospitali, barabara, huduma za maji,reli na kadhalika.
Katika nchi...