Habari waungwana nauza simu nokia x2-01 ni original haijatumika sana na wala cyo mbovu,sijawahi kuipeleka kwa fundi,ina whatsapp,twitter,facebook,badoo n.k bei ni 60,000 kwa atakaye hitaji ntampa namba
Jamani wapendwa samahanini kwa usumbufu nna katangazo kadogo,nnauza simu nokia x2-01,bei elfu 60,000 siyo mbovu na muonekano wake ni mzuri tu kwa atakaye hitaji ntampa namba,shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.