Kilimo ndio uti wa mgongo kwa taifa letu, kwani kupitia kilimo taifa linajitosheleza kwa chakula,pato la taifa linakua, kipato cha jamii na mtu mmoja mmoja kinakua, ajira zinapatikana za kutosha,
Taifa letu ili linufaike zaidi kupitia sekta hii ya kilimo,basi haina budi kuongeza bajeti ya...