Kilimo ni shughuli ya kibinadamu inayojumuisha uzalishaji wa mimea na ufugaji wa wanyama. Miongoni mwa mazao ya chakula yanayolimwa ni pamoja na mahindi, ndizi, maharage, mihogo, mtama, uwele, njegere, choroko, karanga na viazi. Mazao ya biashara yanayolimwa ni pamoja na karafuu, pamba, alizeti...