Wakubwa naomba mnisaidie" macho yangu sasa yana siku tatu yakiwa yanawasha, lakini yanaanza kuwasha kuanzia mishale ya jioni"
hivi tatizo linawezakuwa nini? maana najikuna saana ndani ya macho mpaka yanavimba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.